NOUN
Kwa mfano :
Asha , Zena , Nasra , John , Anna , president , teacher , pilot , dog , cat , dog , cow , elephant , Dar es salaam, Tanzania , Italy , Uganda , hapiness , truth , danger .
1. KANUNI KATIKA MAJINA YA WATU NA MAHALI .
2. KANUNI KATIKA MAJINA MENGINE
MFANO :
A doctor , the car , an umbrella , a train , a book , the boss , a house , a bus ,..n.k
( Somo la mbele nitakufundisha jinsi ya kutumia hivyo viashiria au articles )
MIFANO YA NOUN KATIKA SENTENSI
1. Juma likes reading books .
- Juma anapenda kusoma vitabu .
2. Asha wants to become a doctor
- Asha anataka kuwa daktari .
3. Yesterday I bought a new smartphone .
- Jana nilinunua simu janja mpya .
4. We have a cat in our home .
- Tuna paka nyumbani kwetu .
5. Asha lives in Tanzania .
- Asha anaishi Tanzania
Soma : Umoja na wingi wa majina ( singular and plural of nouns
Unapoanza kujifunza kiingereza unatakiwa ujue baadhi ya kanuni muhimu ya lugha hii . Kanuni hizo utazijua baada ya kujifunza grammar .
Grammar itakusaidia kutunga sentensi zako kwa usahihi na pia itakufanya uweze kumudu kiingereza cha kuongea na kuandika .
Katika somo letu la leo utajifunza kitu cha kwanza kabisa katika grammar ambacho kinaitwa NOUN .
NOUN - ni neno ambalo linataja majina ya watu, vitu , mahali au wazo . Hivyo kwa kifupi " nouns " ni majina .
Kwa mfano :
Asha , Zena , Nasra , John , Anna , president , teacher , pilot , dog , cat , dog , cow , elephant , Dar es salaam, Tanzania , Italy , Uganda , hapiness , truth , danger .
1. KANUNI KATIKA MAJINA YA WATU NA MAHALI .
=>Katika uandishi majina ya watu huwa tunaanza kwa herufi kubwa , kama hivi : John , Abdul , Alex ...... Na sio john , abdul , alex .
=>Pia majina ya mahali huwa tunaanza kwa herufi kubwa , kama hivi : Tanzania , Uganda , Dodoma , Mwanza , Mtwara , Nairobi , South Africa ........ Na sio tanzania , uganda , dodoma , mwanza .
2. KANUNI KATIKA MAJINA MENGINE
=>Majina mengine kama ya wanyama , vitu n.k . Huwa tunaanza na herufi kubwa endapo tu ikiwa mwanzo wa sentensi tu , ila ikiwa katikati hatuanzi na herufi kubwa .
=>Kikawaida majina haya huanza na kiashairia ( article ) kwanza kama A , An na The .
MFANO :
A doctor , the car , an umbrella , a train , a book , the boss , a house , a bus ,..n.k
( Somo la mbele nitakufundisha jinsi ya kutumia hivyo viashiria au articles )
MIFANO YA NOUN KATIKA SENTENSI
1. Juma likes reading books .
- Juma anapenda kusoma vitabu .
2. Asha wants to become a doctor
- Asha anataka kuwa daktari .
3. Yesterday I bought a new smartphone .
- Jana nilinunua simu janja mpya .
4. We have a cat in our home .
- Tuna paka nyumbani kwetu .
5. Asha lives in Tanzania .
- Asha anaishi Tanzania
Soma : Umoja na wingi wa majina ( singular and plural of nouns
0 Comments